Siku chache zijazo tutauhitimisha mwaka uliokuwa na mambo mengi wa 2025. Ulikuwa na mambo mengi kisiasa na kimichezo. Lakini makala haya yana lengo la kutazama matukio makubwa katika uwanda wa michezo katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Nikisema michezo, simaanishi mpira pekee. Ni kuanzia mbio, raga, baiskeli na mpira wenyewe kwenye ngazi ya taifa na klabu, kwa upande wa wanawake na wanaume. Kuna mengi yametokea. Tuyadurusu!




Leave a Comment