Bendi ya Wasiiona iliyoteka Mitaa ya Dar es Salaam kwa burudani

Ulemavu umewanyima wengi fursa ya kuonesha ukubwa na ubora wa karama walizo jaaliwa, lakini kwa Daniel Maige na kundi lake ulemavu sio ukingo, kwani licha ya kutoona wanatumia vipawa vyao vya muziki kutunga nyimbo na kupiga ala mbalimbali za muziki kwenye Barabara za Jiji la Dar es salaam.

Own handsome delicate its property mistress her end appetite

Kwa Mara ya kwanza Daniel na wenzake walingia barabarani mwaka 2015 na tangu wakati huo hadi hii leo wanaendelea kuudhiirishia ulimwengu kuwa wamejaliwa karama za kipekee licha kukabiliana na changamoto mbalimbali kama vile usafiri, uchakavu wa vifaaa na hata kadhia ya kufurushwa na askari wa jiji baadhi ya maeneo.

Post navigation

Leave a Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Ikiwa unapenda chapisho hili unaweza kupenda haya

error: Content is protected !!